MESSI ATOA NENO JUU YA KUHAMIA ARSENAL



Mshambuliaji wa Barcelona Lionel Messi amesema kama akijiunga na klabu yoyote ya Ligi Kuu Uingereza, basi atahitaji kulipwa kiasi cha paundi laki 6 kila wiki.

Kwa mujibu wa Gazeti la The Star, Messi amechagua klabu tatu za Uingereza ambazo angependa kuzichezea ambazo ni Arsenal,  Manchester United au Manchester City.

Taarifa zinadai kwamba Messi anaweza kuhama Barcelona kwasababu ya matatizo mengi anayopata ikiwemo kodi na kesi za mahakamani. 

Lakini pia kiongozi wa ngazi ya juu ya Barcelona alisema kwamba Messi atacheza Barcelona hadi mwisho wa soka lake.
Share on Google Plus

About MPANDUKA BLOG

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment