ANGALIA KILICHOWATOKEA CHELSEA BAADA YA KUBORONGA EPL

Chelsea kwa sasa ina hali mbaya sana katika Ligi kuu ya England baada ya kukwama katika nafasi ya 15 na kuachwa mbali na timu zingine.

Hapo juzi pia imepoteza mchezo mwingine baada ya kufungwa na Bournemouth FC bao 1-0.

Zifuatazo ni picha za utani zilizosambaa kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii ndani na nje ya nchi.





Share on Google Plus

About MPANDUKA BLOG

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment