RASMI, SIMBA SC YAMTIMUA DYLAN KERR

Simba sports club
Dar es salaam
12-1-2016


Taarifa kwa vyombo vya habari


Kwa masikitiko makubwa klabu ya Simba inawaarifu umma kupitia vyombo vya habari.uamuzi wake wa kuvunja mikataba yake na makocha wake.kocha mkuu Dylan Kerr na kocha wake wa makipa Iddi Salim.

Ktk uamuzi wake uliofanywa mchana huu na kikao cha kamati ya utendaji.ambapo makocha hao waliitwa.klabu ya Simba na walimu hao kwa pamoja wamekubaliana kuvunja mikataba ya ajira zao kwa faida ya pande zote mbili.

Kwa sasa kocha msaidizi wa Simba Jackson Mayanja atakuwa na timu.huku mchakato wa kumpata kocha mkuu ukiendelea..

Mwisho uongozi unawashkuru walimu hao kwa huduma waliyoitoa katika kipindi chote cha uwepo wao klabuni.

Imetolewa na Haji S.Manara

Mkuu wa mawasiliano wa klabu ya Simba.

Simba nguvu moja
Share on Google Plus

About MPANDUKA BLOG

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment