YANGA YALAZWA HUKO TANGA, SIMBA YACHEKELEA DAR


Ligi Kuu Tanzania Bara imeendelea leo Jumamosi (Jan 30) kwa mechi mbalimbali kuchezwa.

Coastal Union 2-0 Yanga

Mabao ya Coastal yamefungwa na Miraji Adam(27) na Juma Mahadhi(62)

Simba SC 4-0 African Sports

Mabao ya Simba yamefungwa na Hamis Kiiza dk ya 14 na 43, Kessy (31) na Ugando(75)

JKT Ruvu 0-0 Majimaji

Mtibwa Sugar 1-0 Stand United (IMEVUNJIKA)

Mechi hii imevunjika katika dakika ya 45 kufuatia mvua kubwa akunyesha wakati Mtibwa ikiwa mbele kwa bao 1-0 na itaendelea kesho Jumapili saa 2 asubuhi.Kwa mujibu wa kanuni za Ligi hiyo, mechi itaendelea kuanzia dakika ya 46 na kuendelea.

Mwadui FC 1-0 Toto Africans

Bao la Mwadui limefungwa na Kevin Sabato
Share on Google Plus

About MPANDUKA BLOG

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment