Yanga imeifunga Ndanda bao 1-0 na kufikisha pointi 36 sawa na Azam FC lakini imekaa kileleni kwa tofauti ya mabao ya kufunga na kufungwa.
Azam FC imeshuka hadi nafasi ya pili baada ya sare ya mabao 1-1 dhidi ya African Sports usiku wa Jumamosi kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi jijini Dar es Salaam.
Ndanda FC ambao wako katika nafasi ya tatu kutoka nafasi ya tatu kutoka chini ikiwa na pointi
Bao la Yanga limefungwa kwa penati na beki Kelvin Yondani.
Azam FC imeshuka hadi nafasi ya pili baada ya sare ya mabao 1-1 dhidi ya African Sports usiku wa Jumamosi kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi jijini Dar es Salaam.
Ndanda FC ambao wako katika nafasi ya tatu kutoka nafasi ya tatu kutoka chini ikiwa na pointi
Bao la Yanga limefungwa kwa penati na beki Kelvin Yondani.

0 comments:
Post a Comment