Makocha wawili kutoka klabu ya Deportivo Tenerife ya Hispania wamewasili jioni ya leo kwa ajili ya kuja kufanya mazungumzo ya kusaini Mkataba wa kufundisha Azam FC.
Makocha hao Jonas Garcia Luis na Zebensul Hernandez Rodriguez wamewasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam Saa 10:00 jioni kwa ndege ya Emirates na kupokewa na Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Saad Kawemba.
Mara baada ya kuwasili JNIA, makocha hao walisema kwamba wanatarajia kupata mwongozo wote kutoka wenyeji wao na wasingeweza kuzungumza mambo mengi.
Makocha hao Jonas Garcia Luis na Zebensul Hernandez Rodriguez wamewasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam Saa 10:00 jioni kwa ndege ya Emirates na kupokewa na Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Saad Kawemba.
Mara baada ya kuwasili JNIA, makocha hao walisema kwamba wanatarajia kupata mwongozo wote kutoka wenyeji wao na wasingeweza kuzungumza mambo mengi.

0 comments:
Post a Comment