SERENGETI BOYS YAIUA USHELISHELI

 Timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys imeanza vema katika kuwania nafasi ya kushiriki michuano ya Afrika ya vijana chini ya miaka 17 baada ya kuitwanga Shelisheli kwa mabao 3-0.

Katika mechi hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Segengeti Boys ingeweza kupata mabao mengi zaidi kama washambuliaji wake wangekuwa makini.
Share on Google Plus

About MPANDUKA BLOG

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment