HATIMAYE BONDIA TYSON AIBUKA NA USHINDI

Bondia Muingereza, Tyson Fury amefanikiwa kumtwanga mbabe Wladimir Klitschko mwenye miaka 40.


Katika pambano hilo lililofanyika Dusseldorf, Ujerumani, Fury amefanikiwa kumtwanga Klitschko kwa pointi katika pambano kali la kuwania ubingwa wa WBA, WBO na IBF.


Majaji walimpa Furry ,27, ushindi wa jumla ya pointi 115-113 za Klitschko ambaye alionekana kutokuwa katika kiwango chake kilicho sahihi.
Share on Google Plus

About MPANDUKA BLOG

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment