CHELSEA YAREJESHA MAKALI, MAN UNITED CHALI



Ligi Kuu soka nchini Uingereza imeendelea tena leo kwa mechi kadhaa zikipigwa kwenye viwanja mbalimbali ambapo…

Chelsea 3 - 1 Sunderland FT

Everton 2 - 3 Leicester FT

Man Utd 1 - 2 Norwich FT

Southampton 0 - 2 Tottenham FT

Stoke 1 - 2 Crystal Palace FT

West Brom 1 - 2 Bournemouth FT
Kocha mpya wa Chelsea Guus Hiddink(wa kwanza kushoto) akiwa jukwaani na mshambuliaji wa zamani wa timu hiyo Didier Drogba. Anayeonekana kulia ni mmiliki wa klabu hiyo Roman Abramovich wakati mchezo kati ya Chelsea na Sunderland ukiendelea.
 
Baada ya kutimuliwa,  kocha Jose Mourinho leo hakuwa na habari na Ligi Kuu England na balada yake alikwenda kutazama mchezo wa Championship kati ya Brighton na Middlesbrough
Share on Google Plus

About MPANDUKA BLOG

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment