MAKUNDI EURO 2016 HADHARANI

England wamewekwa kwenye kundi moja na Wales kwenye michuano ya taifa bingwa Ulaya itakayoandaliwa Ufaransa mwaka ujao.

Michuano hiyo itaanza kwa mechi ya ufunguzi dhidi ya wenyeji Ufaransa na Romania Juni 10.

Mechi kati ya Wales na England itachezwa Juni 16 mjini Lens.

Hafla ya kufanya droo hiyo imeongozwa na katibu mkuu wa Uefa Gianni Infantino.

Share on Google Plus

About MPANDUKA BLOG

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment