Kocha mkuu wa Manchester United Louis Van Gaal ameendelea kuwakera mashabiki wa timu hiyo baada ya kujikuta akichapwa mabao 2-1 na Bournemouth katika mchezo wa Ligi kuu England uliopigwa usiku wa Jumamosi.
Bournemouth walikuwa wa kwanza kupata bao katika dakika ya pili ya mchezo kupitia Junior Stanslas na katika dakika ya 24 Fellain aliisawazishia Man United goli hilo.
Timu hizo zilienda mapumziko zikiwa sare ya 1-1,kipindi cha pili Bournemouth walipata goli la ushindi kupitia Joshua King dakika ya 54 na mpaka dakika ya 90 Man United ilikuwa nyuma kwa goli mbili kwa moja
Bournemouth walikuwa wa kwanza kupata bao katika dakika ya pili ya mchezo kupitia Junior Stanslas na katika dakika ya 24 Fellain aliisawazishia Man United goli hilo.
Timu hizo zilienda mapumziko zikiwa sare ya 1-1,kipindi cha pili Bournemouth walipata goli la ushindi kupitia Joshua King dakika ya 54 na mpaka dakika ya 90 Man United ilikuwa nyuma kwa goli mbili kwa moja

0 comments:
Post a Comment