Ligi kuu soka Tanzania Bara itaendelea tena kesho kwa mechi kadhaa ambapo..
Katika Ligi hiyo makocha wawili watakumbana na timu zao za zamani.
Kocha msaidizi wa Yanga Juma Mwambusi ambaye awali alikuwa kocha mkuu wa Mbeya City atakaa kwenye benchi la ufundi la Yanga kuvaana na Mbeya City.
Naye aliyekuwa kocha wa Simba Jamhuri Kihwelo kesho atakuwa kwenye benchi la ufundi la Mwadui FC kupambana na Simba SC
Ndanda FC vs JKT Ruvu 16:00
Young Africans vs Mbeya City 16:00
Majimaji vs Tanzania Prisons 16:00
Mwadui FC vs Simba SC 16:00
Mtibwa Sugar vs Mgambo JKT 16:00
Coastal Union vs Stand United 16:00
Katika Ligi hiyo makocha wawili watakumbana na timu zao za zamani.
Kocha msaidizi wa Yanga Juma Mwambusi ambaye awali alikuwa kocha mkuu wa Mbeya City atakaa kwenye benchi la ufundi la Yanga kuvaana na Mbeya City.
Naye aliyekuwa kocha wa Simba Jamhuri Kihwelo kesho atakuwa kwenye benchi la ufundi la Mwadui FC kupambana na Simba SC
Ndanda FC vs JKT Ruvu 16:00
Young Africans vs Mbeya City 16:00
Majimaji vs Tanzania Prisons 16:00
Mwadui FC vs Simba SC 16:00
Mtibwa Sugar vs Mgambo JKT 16:00
Coastal Union vs Stand United 16:00

0 comments:
Post a Comment