PAUL NONGA ATUA RASMI YANGA

Yanga imekamilisha dili baada ya kumsajili Paul Nonga kutoka klabu ya Mwadui FC.

Nonga amesaini mkataba wa miaka miwili Jumanne jioni( Dis 14).

Mchezaji mwingine ambaye Yanga imefanikiwa kumsainisha mkataba ni Mniger Issoufou Garba ambaye amepewa mkataba wa mwaka mmoja.

Endapo atafanikiwa kuwashawishi viongozi kwa kuonyesha kiwango kizuri, Garba anaweza kuongezewa mwaka mwingine.

Share on Google Plus

About MPANDUKA BLOG

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment