Timu ya soka ya AC Milan usiku wa jana imeinyuka Inter
Milan mabao 3-0 katika mchezo wa Ligi kuu ya soka nchini Italia maarufu kama
Serie A.
Mabao ya AC Milan yamefungwa na Alex 35, Bacca 73 na
Niang 77.
Katika mchezo huo jumla ya kadi nne za njano
zilitoka ambapo kwa upande wa AC Milan wachezaji Alex, Kucka na Balotelli
walioneshwa kadi za njano huku Jovetic akioneshwa kadi ya njano kwa upande wa
Inter Milan.
0 comments:
Post a Comment