Ruvu Shooting leo imerejea Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuinyuka Lipuli ya Iringa mabao 2-1 katika mchezo uliopigwa huko Iringa.
Shooting ilishuka daraja katika msimu uliopita na sasa itaonekana tena katika msimu ujao wa Ligi Kuu.
Ruvu shooting imerejea Ligi Kuu huku ikiwa bado imebakiza mechi mbili katika Ligi Daraja la kwanza.
Lakini tayari Ruvu Shooting ilikuwa tayari imerejea Ligi Kuu hata kabla ya kucheza na Lipuli kwani Njombe Mji ambao walikuwa wanawakaribia kwa pointi wamefungwa 1-0 na Mlale JKT mchezo uliochezwa saa 8 mchana leo katika uwanja wa Majimaji, Songea.
Shooting ilishuka daraja katika msimu uliopita na sasa itaonekana tena katika msimu ujao wa Ligi Kuu.
Ruvu shooting imerejea Ligi Kuu huku ikiwa bado imebakiza mechi mbili katika Ligi Daraja la kwanza.
Lakini tayari Ruvu Shooting ilikuwa tayari imerejea Ligi Kuu hata kabla ya kucheza na Lipuli kwani Njombe Mji ambao walikuwa wanawakaribia kwa pointi wamefungwa 1-0 na Mlale JKT mchezo uliochezwa saa 8 mchana leo katika uwanja wa Majimaji, Songea.
0 comments:
Post a Comment