CHAMBERLAIN NJE WIKI NANE




Kocha mkuu wa klabu ya soka ya Arsenal Arsene Wenger amethibitisha kuwa mchezaji wake Alex Oxlade-Chamberlain atakaa nje ya uwanja kwa muda wa wiki 6 hadi 8 lakini haitaji upasuaji katika mguu wake.

Kiungo huyo wa pembeni alipata majeraha hayo ya mguu katika uwanja wa Emirates baada ya kugongana na mchezaji wa Barcelona Javier Mascherano katika mchezo wa mabingwa barani Ulaya.

Oxlade-Chamberlain anaweza akikosa michezo ambayo kalabu yake itakuwa ikicheza na anaweza akawaamepona wakati kocha mkuu wa timu ya Taifa ya uingereza  Roy Hodgson's atakapo chagua wachezaji katika michuano ya Euro 2016.

Wenger amesema baada ya klabu yake kupata ushindi katika mchezo a ngao ya jamii dhidi ya Chelsea,mchezaji huyo mwenye miaka 22 alikuwa anahangaika kurudi katika katika kiwango chake.
Share on Google Plus

About MPANDUKA BLOG

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment