TAIFA STARS 'KULA POZI'NDANI YA SERENA HOTEL

                                                                                                                               





















Timu ya soka ya taifa ya Tanzania,Taifa Stars imezidi kupata wadhamini baada ya hoteli kubwa ya Serena ya jijini Dar es salaam kutoa sapoti ya chakula na malazi kuelekea katika mechi ya Jumamosi dhidi ya Algeria.



Stars inarejea leo kutoka nchini Afrika Kusini ilikokuwa imeweka kambi ya siku 10.



Maana yake ni kwamba Stars ikirejea itashusha majeshi yake kwenye hoteli hiyo ya kifahari.



Mdhamini mwingine aliyejitokeza kuongeza nguvu kwa Stars ni benki ya Equity.



Zifuatazo ni picha zingine zinazoonyesha mandhari ya hoteli ya Serena.



























































Share on Google Plus

About MPANDUKA BLOG

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment