Na Arone Mpanduka
Bondia Thomas Mashali amejificha mahali kusikojulikana akijiandaa na pambano la kumaliza ubishi dhidi ya Francis Cheka
Pambano hilo limepangwa kufanyika katika Sikukuu ya Krismass ya Disemba 25 mwaka huu kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.
Akizungumza na MPANDUKA BLOG kwa njia ya simu, Mashali alisema mazoezi yake yanaendelea vema isipokuwa hataki watu wajue mahali anapofanyia maandalizi hayo.
"Mashabiki wangu nawaambia tukutane Jamhuri lakini wasitake kujua nilipo kwa sasa"
Kwa upande wake Cheka, anafanya maandalizi yake huko mjini Morogoro ambako ndiko makazi yake yalipo.
Bondia Thomas Mashali amejificha mahali kusikojulikana akijiandaa na pambano la kumaliza ubishi dhidi ya Francis Cheka
Pambano hilo limepangwa kufanyika katika Sikukuu ya Krismass ya Disemba 25 mwaka huu kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.
Akizungumza na MPANDUKA BLOG kwa njia ya simu, Mashali alisema mazoezi yake yanaendelea vema isipokuwa hataki watu wajue mahali anapofanyia maandalizi hayo.
"Mashabiki wangu nawaambia tukutane Jamhuri lakini wasitake kujua nilipo kwa sasa"
Kwa upande wake Cheka, anafanya maandalizi yake huko mjini Morogoro ambako ndiko makazi yake yalipo.

0 comments:
Post a Comment