DEL BOSQUE KUSTAAFU MWAKANI



Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Hispania Vicente del Bosque amepanga kustaafu baada ya kumalizika kwa fainali za Euro zitakazofanyika nchini Ufaransa mwaka 2016 

Kocha huyo wa zamani wa Real Madrid mwenye umri wa miaka 64 aliiongoza Hispania kutwaa ubingwa katika fainali za dunia za mwaka 2010 na Euro 2012.

Amesema muda wake wa kustaafu unakaribia na kwamba endapo kila kitu kitakwenda vizuri atastaafu baada ya fainali za mwaka 2016.
Share on Google Plus

About MPANDUKA BLOG

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment