![]() |
| Mayweather akiwa kwenye chopa yake baada ya kuwasili nchini Ufaransa |
Bondia mstaafu, tajiri Floyd Mayweather ameweka
picha mbalimbali kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram
akionyesha jinsi anavyoponda raha za maisha yake ya kustaafu.
Picha hizo zimekuwa zikionyesha ziara mbalimbali
katika nchi tofauti tofauti.
Bondia huyo mstaafu hivi karibuni alikuwa nchini Uturuki
na sasa yupo nchini Ufaransa.
Kwa sasa Mayweather anazunguka pande
mbalimbali za dunia akiwa na chopa yake ambapo alitoka Istanbul na kwenda
Ufaransa.
Akiwa Uturuki alikutana na
mshambuliaji wa zamani wa Arsenal Lukas Podolski.
![]() |
| Akiwa na kiongozi wa B4L Umit Akbulut nchini Uturuki |
![]() |
| Akiwa nchini Ufaransa |




0 comments:
Post a Comment