GARY NEVILLE KOCHA MPYA VALENCIA



Klabu ya soka ya Valencia leo imemtangaza mchezaji wa zamani wa Manchester United Gary Neville kuwa kocha wao mpya akichukua nafasi ya Mreno Nuno Santo aliyetimka klabuni hapo Novemba 29 mwaka huu.

Gary Naville anaungana nakaka yake Phil Neville ambaye amekuwa kocha msaidizi wa klabu hiyo tangu mwezi Julai.

Gary ataifundisha timu hiyo hadi mwisho wa msimu huu na pia ataendelea kuwa katika benchi la timu ya Taifa ya England.
Share on Google Plus

About MPANDUKA BLOG

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment