Unayoiona hapo juu ni taarifa(post) aliyoisambaza
mchezaji wa Coastal Union Sabo Youssoufa akishinikiza malipo ya mshahara.
Beki huyo mwenye uraia wa Cameroon ameanika taarifa
hiyo kwenye mitandao ya kijamii akiutaka uongozi wa klabu hiyo ya Tanga kumrejeshea
pasi yake ya kusafiria haraka pamoja na pesa zake za usajili na malimbikizo ya
mishahara.
Coastal Union bado inaandamwa na jinamizi la ukata
ambapo inasemekana hadi sasa wachezaji wake wanadai mishahara yao.

0 comments:
Post a Comment