NGOLO KANTE ATUA RASMI CHELSEA


Klabu ya soka ya Chelsea imetangaza rasmi kwamba imenasa saini ya kiungo wa Leicester City, N’golo Kante kwa ada ya pauni milioni 30.

Kante mwenye umri wa miaka 25 amesaini mkataba wa miaka mitano na atakuwa akipokea mshahara wa pauni 120,000 kwa wiki akiwa darajani.

Kante alifanya vizuri sana msimu uliopita akiwa na Leicester City na kuwa mmoja wa wachezaji waliochangia timu hiyo kutwaa taji la Ligi Kuu England.
Share on Google Plus

About MPANDUKA BLOG

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment