Kikosi cha Yanga kimewasili mchana wa leo( Mei 20,2016) kikitokea nchini Angola.
Juzi Yanga ilifanikiwa kusonga mbele kwa kutinga kwenye hatua ya nane bora ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika licha ya kufungwa mabao 1-0 huko nchini Angola na wenyeji Sagrada Esperanca.
Katika mchezo wa kwanza Yanga ilishinda mabao 2-0
Juzi Yanga ilifanikiwa kusonga mbele kwa kutinga kwenye hatua ya nane bora ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika licha ya kufungwa mabao 1-0 huko nchini Angola na wenyeji Sagrada Esperanca.
Katika mchezo wa kwanza Yanga ilishinda mabao 2-0
0 comments:
Post a Comment