TWITE 'AJITIA KITANZI' JANGWANI

BEKI Mkongomani anayeweza kucheza nafasi za kiungo pia, Mbuyu Junior Twite ameongeza Mkataba wa miaka miwili kuendelea kuichezea Yanga, lakini kiungo kutoka Niger Issoufou Boubacar Garba amepewa barua ya kuvunjiwa Mkataba.

Twite ameongeza mkataba huo jana Jumanne baada ya kuonyesha uwezo mkubwa katika msimu uliopita.
Share on Google Plus

About MPANDUKA BLOG

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment